25 Kuhusu waamini kutoka kati ya mataifa, tumewatumia uamuzi wetu kwa maandishi kwamba wanapaswa kuepuka vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na pia damu,+ na vitu vilivyonyongwa,*+ na uasherati.”*+
25 Kwa habari ya wale waamini kutoka kati ya mataifa, tumetuma watu, tukitoa uamuzi wetu kwamba wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na pia damu+ na vitu vilivyonyongwa,+ na uasherati.”+