11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake na kumwambia: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi kamili kunihusu katika Yerusalemu, ndivyo utakavyotoa ushahidi huko Roma pia.”+
11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake+ na kusema: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi+ kamili katika Yerusalemu juu ya mambo yanayonihusu, vivyo hivyo utatoa ushahidi katika Roma pia.”+