21 Lakini usikubali wakushawishi, kwa maana kuna wanaume zaidi ya 40 kati yao walio tayari kumvizia, nao wamejifunga kwa laana* kwamba hawatakula wala kunywa mpaka watakapomuua;+ na sasa wako tayari, wakisubiri ruhusa kutoka kwako.”
21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”