20 lakini kwanza kwa wale walio huko Damasko+ kisha kwa wale walio Yerusalemu,+ na katika nchi yote ya Yudea, na pia kwa mataifa, nilikuwa nikipeleka ujumbe kwamba wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayoonyesha toba.+
20 lakini kwa wale walio katika Damasko+ kwanza na pia kwa wale walio katika Yerusalemu,+ na juu ya nchi yote ya Yudea, na kwa mataifa+ nilienda nikiuleta ujumbe kwamba wao wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu kwa kufanya matendo yanayostahili toba.+