26 Kwa kweli, mfalme ninayezungumza naye kwa uhuru anajua vizuri mambo haya; nina hakika kwamba hakuna hata moja kati ya mambo haya ambalo hajui, kwa maana hakuna jambo lolote lililofanywa kisiri.+
26 Kwa kweli, mfalme ambaye ninasema naye kwa uhuru wa kusema anajua vema juu ya mambo haya; kwa maana ninasadiki kwamba hakuna hata moja kati ya mambo haya ambalo hajui, kwa maana jambo hili halijafanywa pembeni.+