21 Kwa kusudi gani? Ili kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa zitawale kama mfalme kupitia uadilifu na kuleta uzima wa milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.+
21 Kwa kusudi gani? Kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala kama mfalme pamoja na kifo,+ vivyo hivyo pia fadhili zisizostahiliwa+ zitawale kama mfalme kupitia uadilifu kwa tazamio la uzima wa milele+ kupitia Yesu Kristo Bwana wetu.