22 Hata hivyo, sasa, kwa vile mliwekwa huru kutoka katika dhambi na kuwa watumwa wa Mungu, mnazaa matunda katika utakatifu,+ na mwisho ni uzima wa milele.+
22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+