18 Kwa maana najua kwamba ndani yangu, yaani, katika mwili wangu, halikai jambo lolote jema; kwa kuwa nina tamaa ya kufanya mambo mema lakini sina uwezo wa kuyafanya.+
18 Kwa maana najua kwamba ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai jambo lolote jema;+ kwa maana nina uwezo wa kutaka,+ bali uwezo wa kufanya+ yaliyo mazuri haupo.