32 Kwa kuwa hakusita kumtoa hata Mwana wake mwenyewe bali alimkabidhi kwa ajili yetu sote,+ je, hatatupatia pia pamoja naye kwa fadhili vitu vingine vyote?
32 Yeye ambaye hakujizuia hata Mwana+ wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,+ kwa nini yeye pia pamoja naye hatatupa sisi kwa fadhili vitu vingine vyote?+