16 ili niwe mtumishi wa watu wote wa Kristo Yesu kwa mataifa.+ Ninafanya kazi takatifu ya habari njema ya Mungu,+ ili mataifa haya yawe toleo linalokubalika, lililotakaswa kwa roho takatifu.
16 ili niwe mtumishi wa watu wote wa Kristo Yesu kwa mataifa,+ nikifanya kazi takatifu ya habari njema+ ya Mungu, ili toleo,+ yaani, mataifa haya, likubalike,+ likiwa limetakaswa kwa roho takatifu.+