2 ili mumkaribishe katika Bwana kwa njia inayowastahili watakatifu, na kumpa msaada wowote ambao huenda akahitaji,+ kwa maana yeye pia alikuwa mtetezi wa wengi, kutia ndani mimi mwenyewe.
2 ili kwamba mkamkaribishe+ katika Bwana kwa njia inayowastahili watakatifu, na kwamba mkamsaidie katika jambo lolote ambalo huenda akawahitaji ninyi,+ kwa maana yeye mwenyewe pia alikuwa mtetezi wa wengi, ndiyo, wangu mimi mwenyewe.