7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu.+ Lakini wengine, kwa sababu zamani waliabudu sanamu, wanakula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+
7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu;+ bali wengine, wakiwa wameizoea sanamu mpaka sasa, hula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+