2 Kwa maana yule anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu, bali na Mungu, kwa maana hakuna anayesikiliza,+ bali yeye husema kwa roho siri zilizo takatifu.+
2 Kwa maana yeye anayesema kwa lugha husema, si na wanadamu, bali na Mungu, kwa maana hakuna anayesikia,+ bali yeye husema kwa roho siri zilizo takatifu.+