27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba hilo halimhusu Yule aliyevitiisha vitu vyote chini yake.+
27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+