54 Lakini huu unaoweza kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo neno hili lililoandikwa litakapotimia: “Kifo kimemezwa milele.”+
54 Lakini huu ulio wenye kuharibika utakapovaa kutoweza kuharibika na huu unaoweza kufa utakapovaa kutoweza kufa, ndipo litakapotimia hili neno lililoandikwa: “Kifo+ kimemezwa milele.”+