11 Ninyi pia mnaweza kutusaidia kwa kutoa dua kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani kwa ajili yetu kwa kibali tunachopokea kwa sababu ya majibu ya sala za wengi.*+
11 Ninyi pia mnaweza kushiriki kusaidia kwa dua yenu kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani+ kwa ajili yetu kwa lile ambalo tumepewa kwa fadhili kutokana na sala za watu wengi.+