13 Kwa maana kwa kweli hatuwaandikii jambo lolote isipokuwa yale mnayoweza kusoma* na kuyaelewa, nami natumaini mtaendelea kuyaelewa mambo haya kikamili,*
13 Kwa maana kwa kweli hatuwaandikii ninyi mambo isipokuwa yale mnayoyajua vema au kuyatambua pia; na ambayo mimi natumaini mtaendelea kuyatambua mpaka mwisho,+