15 Kwa maana mambo yote haya ni kwa ajili yenu, ili fadhili zisizostahiliwa zinazoongezeka zizidi kuwa nyingi kwa sababu wengi zaidi wanatoa shukrani kwa utukufu wa Mungu.+
15 Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu,+ ili fadhili zisizostahiliwa zilizozidishwa ziwe nyingi kwa sababu ya kutoa shukrani kwa wengi zaidi kwa utukufu wa Mungu.+