16 Basi tangu sasa hatumjui mtu yeyote kulingana na maoni ya kimwili.+ Hata kama wakati fulani tulimjua Kristo kulingana na mwili, kwa hakika hatumjui tena kwa njia hiyo.+
16 Kwa hiyo tangu sasa na kuendelea sisi hatumjui mtu yeyote kulingana na mwili.+ Hata kama tumemjua Kristo kulingana na mwili,+ hakika sasa hatumjui hivyo tena.+