10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+
10 kama walio na huzuni lakini wenye kushangilia sikuzote, kama maskini lakini wenye kuwatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado wenye kuwa na vitu vyote.+