12 Ingawa niliwaandikia, sikufanya hivyo kwa ajili ya yule aliyefanya kosa,+ wala kwa ajili ya yule aliyekosewa, bali ili bidii yenu kwa ajili yetu ithibitishwe miongoni mwenu machoni pa Mungu.
12 Hakika, ijapokuwa niliwaandikia ninyi, nilifanya hivyo, si kwa ajili ya yeye aliyetenda kosa,+ wala kwa ajili ya yeye aliyekosewa, bali ili bidii yenu kwa ajili yetu ifunuliwe katikati yenu machoni pa Mungu.