2 Wakorintho 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu kama huyo ajue kwamba mambo tunayosema* kupitia barua tusipokuwapo, tutayafanya pia* tutakapokuwapo.+ 2 Wakorintho 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu wa namna hiyo na atie jambo hili akilini, kwamba kile tulicho katika neno letu kwa barua wakati hatupo, ndivyo tutakavyokuwa pia katika tendo tutakapokuwapo.+
11 Mtu kama huyo ajue kwamba mambo tunayosema* kupitia barua tusipokuwapo, tutayafanya pia* tutakapokuwapo.+
11 Mtu wa namna hiyo na atie jambo hili akilini, kwamba kile tulicho katika neno letu kwa barua wakati hatupo, ndivyo tutakavyokuwa pia katika tendo tutakapokuwapo.+