6 Lakini kuhusu wale walioonekana kuwa muhimu+—vyovyote walivyokuwa hapo awali sioni tofauti, kwa maana Mungu haangalii sura ya nje—watu hao walioheshimiwa sana hawakuniongezea kitu chochote kipya.
6 Lakini kwa upande wa wale walioonekana kuwa ni kitu+—hata kama walikuwa watu wa namna gani hapo zamani haileti tofauti yoyote kwangu+—Mungu hafuati sura ya nje+ ya mwanadamu—kwangu, kwa kweli, hao watu wenye kutokeza hawakunipa jambo lolote jipya.