14 Na ingawa hali yangu ya kimwili ilikuwa jaribu kwenu, hamkunitendea kwa dharau au kunichukia;* bali mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama Kristo Yesu.
14 Na lililokuwa jaribu kwenu katika mwili wangu, hamkulitendea kwa dharau au kulitemea mate kwa chuki; bali mlinipokea kama malaika+ wa Mungu, kama Kristo Yesu.+