Wagalatia 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na mimi, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Ikiwa ndivyo, kikwazo cha mti wa mateso*+ kimeondolewa. Wagalatia 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+
11 Na mimi, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Ikiwa ndivyo, kikwazo cha mti wa mateso*+ kimeondolewa.
11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+