17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho, na roho inapingana na mwili; vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba hamfanyi mambo mnayotaka kufanya.+
17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho,+ na roho inapingana na mwili; kwa maana vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba mambo yale ambayo mnapenda kufanya hamyafanyi.+