12 kwa sababu tunapambana,*+ si dhidi ya damu na mwili, bali dhidi ya serikali, dhidi ya mamlaka, dhidi ya watawala wa ulimwengu wa giza hili, dhidi ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu.
12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu.