25 Lakini sasa ninaona ni lazima nimtume kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mfanyakazi mwenzangu na mwanajeshi mwenzangu, na mjumbe wenu na mtumishi wa kibinafsi kwa ajili ya uhitaji wangu,+
25 Hata hivyo, naona ni lazima nimtume kwenu Epafrodito,+ ndugu yangu na mfanyakazi mwenzi+ na askari-jeshi mwenzi,+ lakini mjumbe wenu na mtumishi wa kibinafsi kwa ajili ya uhitaji wangu,