12 Si kwamba tayari nimelipokea au tayari nimefanywa kuwa mkamilifu, bali ninaendelea kujitahidi+ ili kuona kama pia ninaweza kulishika lile ambalo lilifanya Kristo Yesu anichague.*+
12 Si kwamba tayari nimelipokea au tayari nimefanywa kuwa mkamilifu,+ bali ninafuatilia+ ili kuona kama pia ninaweza kulishika+ lile ambalo kwa ajili yake pia mimi nimeshikwa+ na Kristo Yesu.