13 Akina ndugu, sijioni kuwa tayari nimelishika hilo; lakini jambo moja ni hakika: Ninayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kuelekea mambo yaliyo mbele,+
13 Akina ndugu, bado mimi mwenyewe sijioni kwamba nimekwisha kulishika hilo; lakini kuna jambo moja kulihusu: Nayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kwenda mbele kuelekea mambo yaliyo mbele,+