15 Kwa kweli, ninyi Wafilipi pia mnajua kwamba mwanzoni mlipojifunza habari njema, nilipoondoka Makedonia, hakuna kutaniko lililoshiriki pamoja nami katika kutoa na kupokea, isipokuwa ninyi peke yenu;+
15 Kwa kweli, ninyi Wafilipi, mnajua pia kwamba mwanzoni mwa kutangaza habari njema, nilipoondoka Makedonia, hakuna kutaniko hata moja lililoshiriki pamoja nami katika jambo la kutoa na kupokea, isipokuwa ninyi peke yenu;+