2 Ninafanya hivyo ili mioyo yao ifarijiwe+ na ili waunganishwe kwa upatano katika upendo+ na wawe na utajiri wote unaotokana na uhakikisho kamili wa uelewaji wao, ili wapate ujuzi sahihi wa siri takatifu ya Mungu, yaani, Kristo.+
2 ili mioyo yao ifarijiwe,+ ili waunganishwe pamoja kwa upatano katika upendo+ na kufikia utajiri wote wa uhakikisho kamili wa uelewaji+ wao, kufikia ujuzi sahihi wa siri takatifu ya Mungu, yaani, Kristo.+