3 kwa maana tunaendelea kukumbuka kazi yenu ya uaminifu, kazi yenu ngumu ya upendo, na jinsi ambavyo mmevumilia kwa sababu ya tumaini lenu+ katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu, Baba yetu.
3 kwa maana daima sisi hukumbuka akilini kazi yenu ya uaminifu+ na kazi yenu ya jasho yenye upendo na uvumilivu wenu kwa sababu ya tumaini+ lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu wetu na Baba.