9 Watu hao wanaendelea kusema jinsi tulivyowahubiria ninyi mara ya kwanza na jinsi mlivyomgeukia Mungu na kuacha kuabudu sanamu+ ili kumtumikia Mungu wa kweli aliye hai,
9 Kwa maana wao wenyewe wanaendelea kutoa habari kuhusu namna tulivyoingia kwanza katikati yenu na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkatoka kwenye sanamu+ zenu ili mmtumikie Mungu aliye hai+ na wa kweli,+