11 Kwa hiyo, tunasali sikuzote kwa ajili yenu, kwamba Mungu wetu awahesabu kuwa mnastahili mwito wake+ na kwa nguvu zake kufanya kikamili mambo yote yanayompendeza na kila kazi ya imani.
11 Kwa hiyo sisi tunasali sikuzote kwa ajili yenu, ili Mungu wetu awahesabu ninyi kuwa mnastahili mwito+ wake na kufanya kwa ukamili yote anayopenda yaliyo ya wema na ile kazi ya imani pamoja na nguvu;