17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+
17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+