2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu yaliyothibitishwa na mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi wanaume waaminifu, ambao watastahili vya kutosha kuwafundisha wengine.
2 na mambo uliyoyasikia kutoka kwangu kwa uthibitisho wa mashahidi wengi,+ mambo hayo uwakabidhi watu waaminifu, ambao nao watakuwa na sifa za kustahili vya kutosha kufundisha wengine.+