10 Kwa sababu hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa ajili ya wale waliochaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu ambao ni kupitia Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele.
10 Kwa hiyo ninaendelea kuvumilia mambo yote kwa sababu ya waliochaguliwa,+ ili wao pia wapate wokovu ulio katika muungano na Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele.+