12 Nazo zinatuzoeza kukataa matendo yasiyompendeza Mungu na tamaa za ulimwengu+ na kuishi kwa utimamu wa akili, uadilifu, na ujitoaji-kimungu* katika mfumo huu wa mambo,*+
12 zikitufundisha kukataa kabisa kutomwogopa Mungu+ na tamaa za kilimwengu+ na tuishi kwa utimamu wa akili na uadilifu na ujitoaji-kimungu+ katikati ya mfumo wa mambo wa sasa,+