-
Tito 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Maneno haya ni yenye kutegemeka, na ninataka uendelee kuyakazia mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu waendelee kukaza fikira zao katika kudumisha matendo mema. Mambo haya ni mema na yanawanufaisha watu.
-