Waebrania 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+ Waebrania 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali shahidi fulani ametoa uthibitisho mahali fulani, akisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba umweke akilini,+ au mwana wa binadamu hivi kwamba umtunze?+
6 Lakini mahali fulani shahidi mmoja alisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba unamweka akilini, au mwana wa mtu hivi kwamba unamtunza?+
6 Bali shahidi fulani ametoa uthibitisho mahali fulani, akisema: “Mwanadamu ni nini hivi kwamba umweke akilini,+ au mwana wa binadamu hivi kwamba umtunze?+