3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama alivyosema: “Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu, ‘Hawataingia katika pumziko langu,’”+ ingawa kazi zake zilimalizika tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+