Waebrania 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Oneni jinsi mtu huyu alivyokuwa mkuu, ambaye Abrahamu yule kichwa cha familia,* alimpa sehemu ya kumi kutoka kwa zile nyara bora.+ Waebrania 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Oneni, basi, jinsi alivyokuwa mkuu mtu huyu ambaye Abrahamu, yule kichwa cha familia, alimtolea sehemu ya kumi kutokana na zile nyara kuu.+
4 Oneni jinsi mtu huyu alivyokuwa mkuu, ambaye Abrahamu yule kichwa cha familia,* alimpa sehemu ya kumi kutoka kwa zile nyara bora.+
4 Oneni, basi, jinsi alivyokuwa mkuu mtu huyu ambaye Abrahamu, yule kichwa cha familia, alimtolea sehemu ya kumi kutokana na zile nyara kuu.+