11 “‘Nao hawatafundishana tena kila mtu na raia mwenzake na kila mtu na ndugu yake, wakisema: “Mjue Yehova!”* Kwa maana wote watanijua, kuanzia mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi miongoni mwao.
11 “ ‘Nao hawatafundishana kwa vyovyote kila mtu na raia mwenzake wala kila mtu na ndugu yake, wakisema: “Mjue Yehova!”+ Kwa maana wote watanijua mimi,+ kuanzia yule aliye mdogo zaidi mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao.