19 Kwa maana Musa alipowatajia watu wote kila amri ya Sheria, alichukua damu ya wale ng’ombe dume wachanga na ya wale mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu, na hisopo, na kukinyunyizia kile kitabu* na watu wote,
19 Kwa maana wakati kila amri kulingana na Sheria ilipokuwa imesemwa na Musa kwa watu wote,+ alichukua damu ya wale ng’ombe-dume wachanga na ya wale mbuzi pamoja na maji na sufu nyekundu na hisopo+ na kukinyunyizia kile kitabu na watu wote,