16 “‘Hili ndilo agano nitakalofanya pamoja nao baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao.’”+
16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+