33 Nyakati fulani mlifunuliwa hadharani* kwa shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlishiriki* pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na mambo kama hayo.
33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+