6 Lakini na aendelee kuomba kwa imani,+ bila kuwa na shaka hata kidogo,+ kwa maana aliye na shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo na kupeperushwa huku na huku.
6 Lakini na aendelee kuomba+ kwa imani, bila kutia shaka hata kidogo,+ kwa maana yeye anayetia shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo+ na kupeperushwa huku na huku.