18 Kwa maana mnajua kwamba mliwekwa huru*+ kutoka kwenye mwenendo wenu usio na faida ambao mlipokea kutoka kwa mababu zenu,* si kwa vitu vyenye kuharibika, kwa fedha au dhahabu,
18 Kwa maana mnajua kuwa si kwa vitu vyenye kuharibika,+ kwa fedha au dhahabu, kwamba mlikombolewa+ kutoka kwenye namna ya mwenendo wenu usiozaa matunda ambao ulipokewa kwa njia ya mapokeo kutoka kwa mababu zenu.