7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni”*+
7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu ninyi, kwa kuwa ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe lilelile ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni,”+